Shireen Hunter ameongeza kuwa: "Iran inapaswa kujumuisha hatua na kutaka dhamana katika makubaliano yoyote ya siku za usoni na Marekani ili isishtukizwe tena kwa mabadiliko ya misimamo ya Marekani, kama ilivyotokea kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA."
Profesa wa Chuo Kikuu cha Georgetown amesema: "Israel haitaki kuwepo maridhiano kati ya Marekani na Iran, na mashambulizi ya Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ni uchokozi na kinyume na Mkataba wa Umoja wa Mataifa."
Ameongeza kuwa: "Muqawama na utetezi wa Iran wa mamlaka yake ya kujitawala vimeonyesha kuwa vita vitakuwa na gharima hata kwa Marekani."
342/
Your Comment